عربيEnglish

مريم ابنت عمران عليها السلام موسوعة القرآن الكريم

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The rising of the dead [Al-Qiyama] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The rising of the dead [Al-Qiyama] Ayah 40 Location Maccah Number 75

Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake! [4]

Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake. [5]

La! Hapana pa kukimbilia! [11]

Hasha! Bali nyinyi mnapenda maisha ya duniani, [20]

Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana. [24]

Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo. [25]

La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo, [26]

Na pakasemwa: Nani wa kumganga? [27]

Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki; [28]

Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi! [30]

Kwa sababu hakusadiki, wala hakuswali. [31]

Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo. [38]